Kabla sijaingia kwa undani kwenye mada hii naomba kutumia fursa hii kukukaribisha ujipatie moja ya kazi zangu bora kabisa, kitabu cha kilektronikia kinachozungumzia kwa kina mazingira yaliyopelekea kufukuzwa kazi kwa aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa, Dkt Modestus Kipilimba.